Monday
Saturday
Tuesday
Friday
ramadhani karim
tunakupeni mkono wa ramadhani karim ,kesho inshallah tutaanza kufunga mfungo wa ramadhani. na tumefungua blog mpya .babawawa2.blogspot.comWednesday
Sunday
Friday
Monday
Saturday
Monday
habari ilotokea newcastle
hahahhahahah habari za uhakika ilotufikia kutoka mafichoni kuwa jamaa mmoja alokuwa akiaminiwa kwa kila kitu na watu juzi alivunja uaminifu wake baada ya kumvunjia heshima mke wa rafiki yake alokuwa akimuamini kwa kila kitu jee huu ni ubinaadamu
Saturday
harusi ya kassim znz
mzee amaren akiwa na kasiim siku ya chakula cha mchana
baada ya kufunga ndoa msikiti mabati
Tuesday
Wednesday
Monday
Sunday
mwaka mpya 2008
Abeid na blog hii wanakupeni mkono wa mwaka mpya wa 2008 uwe wenye kheri .Monday
Wednesday
blogspot ya kazuba inatoa mkono wa eid
Tuesday
Sunday
mtoto wa bakhresa apata ajani na kufariki
Huyu ndio khalid bakhresa aliyepata ajali leo huko znz kwenye mashindano ya magari.
wakati wa kuanza kwa mashindano
gari lake alilopata ajali nalo
hapa kwa mbele ilikuwa kituo cha polisi

kazikwa leo khalid bakhresa mungu ailaze roho ya marehenu mahali pema peponi amin.
Wednesday
Sunday
Thursday
Wednesday
Monday
Thursday
Wednesday
Saturday
Friday
YANAYO TUFANYA TUWE WASWAHILI
(1) unamwita mtu usiyemjua aunt au anco
(2) Asilimia 90 ya cd pamoja na cassete za muziki ulizonazo nyumbani ni feki sio original
(3) Stoo yako imejaa vitu (makorokoro)kwa kuwa hutupikwa kuamini kuwa ipo siku utayahitaji
kwa mfano carpet ukilitoa hulitupi n.k
(4) Una machupa ya maji matupu ya shampoo ,perfume pamoja na vipodozi vingine umeweka
tuu wala hunashughuli navyo.
(5) watoto wako wote wana majina ya utani mfano babu ali ,chidi melodi , dida ,mamu n.k
(6) hakuna mtu katika familia yako anaetoa taarifa kwako anapo kuja kukutembelea kwa
mfano kaka ,shangazi n.k
(7) mifuko yako imejaa vitu kama vile vijiti vya kusafishia meno ,tissue n.k ulivyochukua sehemu kama vile mgahawani.
(8) mama yako anamigogorona ndugu na hawazungumzi kwa muda wa siku 10 au zaidi.
(9) hupigi simu isipokuwa katika muda ambao gharama za kupiga ni nafuu (mfano usiku sana)
na mara nyingi huwa una beep tu.
(10) ulipokuwa mdogo nguo unazonunuliwa pamoja na viatu ni vikubwa mara mbili ili kuvivaa muda mrefu zaidi.
(11)wakati ukisafiri na ndege unabeba mzigo wa uzito mkubwa kuliko inavyoruhusiwa.
(12) unampomsaidia mtu na akafanikiwa basi utakuwa unasema kama sio mimi asingekuwa vile yule.
(2) Asilimia 90 ya cd pamoja na cassete za muziki ulizonazo nyumbani ni feki sio original
(3) Stoo yako imejaa vitu (makorokoro)kwa kuwa hutupikwa kuamini kuwa ipo siku utayahitaji
kwa mfano carpet ukilitoa hulitupi n.k
(4) Una machupa ya maji matupu ya shampoo ,perfume pamoja na vipodozi vingine umeweka
tuu wala hunashughuli navyo.
(5) watoto wako wote wana majina ya utani mfano babu ali ,chidi melodi , dida ,mamu n.k
(6) hakuna mtu katika familia yako anaetoa taarifa kwako anapo kuja kukutembelea kwa
mfano kaka ,shangazi n.k
(7) mifuko yako imejaa vitu kama vile vijiti vya kusafishia meno ,tissue n.k ulivyochukua sehemu kama vile mgahawani.
(8) mama yako anamigogorona ndugu na hawazungumzi kwa muda wa siku 10 au zaidi.
(9) hupigi simu isipokuwa katika muda ambao gharama za kupiga ni nafuu (mfano usiku sana)
na mara nyingi huwa una beep tu.
(10) ulipokuwa mdogo nguo unazonunuliwa pamoja na viatu ni vikubwa mara mbili ili kuvivaa muda mrefu zaidi.
(11)wakati ukisafiri na ndege unabeba mzigo wa uzito mkubwa kuliko inavyoruhusiwa.
(12) unampomsaidia mtu na akafanikiwa basi utakuwa unasema kama sio mimi asingekuwa vile yule.
Monday
Thursday
Wednesday
mambo ya holand
kuna mdau 1 kutoka udachini kanitumia hii picha kama bado wanamkumbuka kocha chura.
kijana china , na chidi wa melodi wamemkimbia badi na chura .
Monday
Sunday
tangazo la msiba
Bibi munira hassan wa dubai na ndugu zake wa tz wanatangaza kifo cha mama yao mzazi bi nuru almaaruf (gosheiye )kilichetokea znz leo asubuhi salamu ziwafikie jamaa wote na marafiki wanaousika na msiba huu maziko yatafanyika leo znz baada ya sala ya laasiri mungu ailaze roho ya marehemu maali pema peponi (amin)
Saturday
Friday
Thursday
Wednesday
mambo ya mwambaaaa
mwamba akiwa na jamaa zake walipotembelea uwanja wa manchester
harbabu anaona kachoka sana hapo kaona akakae kwenye kiti hahahahhahahahha. kocha mtarajiwa wa manSaturday
eid mubarak
ummi ,zuwena,faa,dulla na waheeda
kisuzuki akiwa angani yeye na pailot waheeda
namkumbuka jamaa 1 anapenda sana mambo haya hahahhahahahhahahhahahahha
Friday
Tuesday
Sunday
hamilton out
hamilton kabla ajatoka na kukosa ubingwa
hamilto alipopata ajali na kutoka kwenye mashindano yaliofanyika alfajiri ya leo .Thursday
Tuesday
Sunday
Friday
Fainali ya kombe la dunia wanawake
Brazili itaifunga ujerumani kesho kutwa huko china?
wachezaji wa ujerumani wakishangilia kucheza fainali na brazili jumapili.Thursday
Wednesday
Tuesday
Monday
Sunday
Friday
Thursday
Tuesday
Monday
Sunday
Saturday
Thursday
Wednesday
Ramadhani karim
waislamu kote duniani wanajitayarisha kufunga mwezi mtukufu wa ramadhani hapo kesho inshalla Mungu tujaalie iwe saum makbul (amin)
Tuesday
Monday
shenazi afariki

Shenazi afariki dunia kwenye ajali huko mbeya wakati akirudi kwake dar es salaam akitokea kwenye shuhuli zake za kimuziki.
Sunday
ramadhani karim

Nimetumwa na shabani anasema mpokeeni mgeni mtukufu wa ramadhani ,atakuja na watoto watatu ,rehma ,maghfira na toba jiandaeni kumpokea .
Saturday
kuna mdau kanitumia hii picha
K umbe bongo bado tupo nyuma tumetengenezewa uwanja mzuri lakini kuna watu wanauharibu wanangoa viti kisha watu wanapiga kelele mimi sijaona namba yangu ya kiti sasa unaionaje namba na umengoa.mpira umekwisha
Jamani amini usiamini taifa stars
tumiumia mpira umemaliza
msumbiji 1 -0 kwa tanzania
tumiumia mpira umemaliza
msumbiji 1 -0 kwa tanzania
Friday
Kila la kheri taifa stars

kila la kheri taifa stars wataingia uwanjani kesho saa mbili usiku kwa saa za tanzania kupambana na msumbiji .
Thursday
Kwanini wanakubagua
Usijali ubaguzi wa tz sio ajabu washazoea kubaguana lakini naamini utafika mbali kwenye urembo wa duniaTuesday
Monday
Sunday
Saturday
umati uloingia uwanja wa taifa
umati katika uwanja wa taifa leo baina ya uganda vs tz kumbe wanajua kujipanga tv inafundisha
hatari kwenye lango la uganda
Friday
canavaro wa tz
canavaro wa tz akiwa mazoezini alianza kucheza znz na sasa yupo yanga na kawa super star je atamkumbuka kocha wake hassan chura ?Wednesday
Tuesday
Monday
Sheikh Nurdin
Masheikh wakimsalia Sheikh nurudin kwanye msikiti wa shadhili hapo kariakoo na makamo wa rais ali mohamed shenSunday
Saturday
Friday
pepeta

wacheza show wa twanga pepeta wakiwa jukwaani jana usiku kuamkia leo hapa london,na kwa niaba ya kampuni ya natalies studio utajaribu kuwaleta newcastle sasa wapenzi wa newcastle kaeni mkao wa kula
Thursday
mambo ya hama

mbunge wa chadema akiingia kwenye uwanja wa jangwani kuhutubia akiwa na gari la kifahari aina ya hama
Monday
Sunday
Saturday
kiatu kama gari na ngombe kama honda
wabongo lazima tuwe wabunifu ................................................................!
huyu sio ngombe bali ni honda hahahhahahahahahhahFriday
Wednesday
Tuesday
Monday
Sunday
Saturday
leo vijana walikuwa park
Friday
Wednesday
yassin

alipokuwa anatembelea sehemu za ufaransa
Tuesday
mazula
kama mshawahi kupanda pipa la air tanzania kwenda dubai au mascat sio geni kusikia jina la capten mazula kushoto mimi namkumbua nili[pokuwa safarini kwenda kuwaitMonday
Sunday
Saturday
Friday
Karibuni nyote
asalam alekum karibuni kwenye blog yangu mpya na nitajitahidi kukuarifuni kila niwezalo na lisilo sitokuleteeni na nitajitahidi kwa hali na mali pia bloghii haitakuwa ya matusi wale maneno yasikuwa ya maana.
Thursday
juventus\
mwaka 2010watakuwa kama hawa uwanja wa taifa
kukatazwa kuvuta sigara itakuwaje
Subscribe to:
Posts (Atom)










































hamilton akiinua kombe lake la ushindi wa mashindano ya magari huko japani.



























































